EVENTS/MATUKIO...

NMB MOBILE BILLS PAYMENT

Afisa Mtendaju Mkuu DAWASCO Jackson Midala (1 Kulia) kaika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu NMB Wiessing Mark (3 Kushoto), Abdulmajid Nsekaela (2 Kushoto) na Roland Baraka Shelukindo DSTV muda mfupi baada ya uzinduzi wa huduma ya NMB Mobile.

CEO-DAWASCO Jackson Midala akieana mkono wa pongezi na CEO-NMB Mark Wiessing mara baada ya uzinduzi wa huduma ya NMB Mobile ambapo wateja wa DAWASCO wataweza kufanya malipo ya ankara kupitia huduma hiyo.

Wafanyakazi wa DAWASCO Kiula Kingu (2 kushoto), Tumakwezi Sayi na Theresia Mlengu wakifuatialia uzinduzi wa huduama ya NMB Mobile.

Afisa Mtendaji Mkuu NMB Mark Wiessing akiteta jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASCO Jackson Midala.

Afisa Biashara Mkuu NMB Kees Verbeek akizungumza jambo na Afisa Mtendaji mkuu wa DAWASCO Jackson Midala.

 

AFWA Training

washiriki wa mkutano wa kimataifa (AfWA), uliojadili matumizi sahihi ya nishati wakiwa katika picha ya pamoja. mkutano huo uliandaliwa na DAWASCO na kufanyika katika hotel ya Golden Tulip jijini Dar es salaaam Agosti 25-26, 2011.

Baadhi ya wafanyakazi wa DAWASCO wakiwa na wageni kutoka nchi mbalimbali za Afrika walioshiriki mkutano wa AFWA katika Mtambo wa kuzalisha maji Ruvu juu.

Washiriki wa mkutano wa AFWA wakiwa katika maabara ya mtambo wa Ruvu juu wakipokea maelezo namna ya kutibu maji kabla ya kutumiwa na wateja.

Mhandisi wa mtambo wa Ruvu Chini(Wapili kutoka kushoto) akitoa maelekezo juu ya hatua mbalimbali za kutibu maji kwa washiriki wa AFWA waliotembelea mtambo huo.

Washiriki wakifuatilia kwa makini kila hatua ya kutibu maji invyofanyika kabla ya kusafirishwa kwenda kwa wateja tayari kwa matumizi.